Trump ataka walimu wapewe bunduki.

In Kimataifa

Rais wa Marekani, Donald Trump ameshauri walimu kupatiwa silaha ili kuwalinda wanafunzi na mashambulizi ya kutumia silaha za moto.

Rais Trump akihutubia wanafunzi na walimu White House.

Rais Trump amesema hayo jana Februari 21, 2018 wakati akihutubia wanafunzi na walimukatika hafla fupi ya saa moja iliyofanyika White House, Trump amesema huu ni muda muafaka kwa walimu kukabidhiwa silaha ili kuimarisha ulinzi mashuleni.

Najua watu wengi hawafahamu kuwa marubani wanamiliki bunduki za kujilinda na kuwalinda abiria pale linapotokea tatizo na ndio maana umeona matatizo yamepungua, kwa hiyo naona huu ni muada mwafaka walimu kukabidhiwa bunduki kwani Mwalimu mwenye bunduki anaweza kukabiliana na washambuliaji mara moja bila ya kusubiri askari polisi,“amesema Trump.

Kauli ya Trump inakuja ikiwa ni wiki moja imepita tangu wanafunzi 17 kuuawa kwa kushambuliwa kwa risasi na mwenzao mjini Florida.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu