TRUMP KUNG’ATUKA RASMI IKULU

In Kimataifa

Rais wa Marekani Donald Trump amesema jana kwamba ataondoka ikulu ya White House baada ya rais mteule Joe Biden kuthibitishwa rasmi mshindi wa uchaguzi, na kurudia kwamba hatakiri kuwa ameshindwa uchaguzi huo.Alipoulizwa na waandishi wa habari kama ataondoka White House iwapo kamati ya wajumbe maalumu maarufu Electoral College itathibitisha ushindi wa Biden, Trump alikiri kuwa ataondoka, ingawa alisema iwapo wajumbe hao watamthibitisha watakuwa wamefanya kosa na kuongeza kuwa itakuwa vigumu kukubali. Amerudia madai yake kwamba kulikuwa na udanganyifu kwenye uchaguzi huo, ingawa kwa mara nyingine hakuweza kuthibitisha madai yake. Kwenye mkutano na waandishi wa habari katika kuadhimisha sherehe za Siku ya Shukrani, Trump alifikia hatua ya kuifananisha miundombinu ya uchaguzi wa Marekani na ya mataifa ya ulimwengu wa tatu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu