Tshisekedi achaguliwa Mwenyekiti mpya AU

In Kitaifa

Umoja wa Afrika (AU) umemchagua Mwenyekiti mpya wa mwaka. Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, amechukua wadhifa huo kutoka kwa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini wakati wa mkutano wa viongozi wakuu na serikali mjini Addis Ababa.

Kikao cha 34 cha kumchagua mwenyekiti huyo kilifanyika siku ya Jumamosi huku kauli mbiu ikiwa ni “Sanaa, Utamaduni na Urathi, lakini masuala sugu yanaendelea kutawala mkutano huo unaokamilika leo Jumapili tarehe 7 mwezi wa Februari 2021.

Tshisekedi alichaguliwa katika kikao cha 2020 kuwa Mwenyekiti wa mwaka 2021, wadhifa unaozunguka miongoni mwa viongozi wa nchi wanachama kwa kipindi cha mwaka mmoja. Tangu mwaka jana Tshisekedi amekuwa kwenye kampeni ya kujijenga kwa kufanya ziara kadhaa barani humo na kujiimarisha kidiplomasia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu