Uchaguzi Liberia kuelekea duru ya pili.

In Kimataifa, Siasa

Nyota wa zamani wa soka George Weah na makamu wa rais Joseph Boake, wanaelekea duru ya pili ya uchaguzi kwenye uchaguzi wa rais nchini Liberia.
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi nchini Liberia kura zote zimehesabiwa na George Weah anaongoza kwa asilimia 39 huku Boakai akiwa wa pili kwa asilimia 29.
Mshindi katika kinyang’anyiro hicho analazimika kujipatia asilimia 50 ya kura zote ili aweze kutangazwa mshindi wa uraisi hivyo kutokana na wagombea wote kushindwa kufikisha asilimia 50 ya kula zilizopigwa inalazimika kuwepo kwa uchaguzi wa marudio.
George Weah ambaye ni muafrika wa kwanza kushinda tuzo ya mpira wa miguu yaa Ballon D’Or na Joseph Boakai wote walikuwa wametabiriwa kuwa wangeshinda duru ya kwanza lakini matokeo yamekuwa tofauti kwani wote wameshindwa kupata ushindi wa asiliamia 50.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu