Uingereza yatoa bilioni 8 kwaajili ya miradi ya Maji.

In Kitaifa

Zaidi ya shilingi Bilion nane 8 zimetolewa na serikali ya uingereza ikishirikina na serikali ya Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji wa lita elfu tatu katika vijiji 5 vya Ngaramtoni, Seuri, Kilimamoto, Olkokola na Bangata vilivyopo halmashari ya wilaya ya Meru Mkoani Arusha

Akizungumza wakati wa ziara ya viongozi kutoka halmashauri  7 za mkoa wa Arusha  wa ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo , mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ys Meru ambaye pia ni katibu wa jumuiya ya serikali za mitaa Charles Mahera amesema kuwa mradi huo wa maji utasaidia kupunguza changamoto ya ulemavu unaotokana na maji yenye madini ya floride

 

Kwa upande wake mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Arumeru Bw,Noah Lembris amesema kuwa, mradi huo utakuwa msaada mkubwa kwa wananchi na unatarajiwa kukamilika mwezi wa 11 mwaka huu

 

Hata hivyo ziara hiyo imeanza leo ambapo kesho kitafanyika kikao cha majumuhisho kitakachojadili  tathmini ya maswala ya maendeleo ya halmashauri 7 za mkoa wa Arusha ambazo ni Monduli, Longido,  Ngorongoro, Meru Dc, Karatu, Arusha jiji, na Arusha DC

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu