Jeshi la wananchi JWTZ kikosi cha 121uhandisi wa medani Ngelengele kinaendelea na zoezi la uwekaji wa daraja la dharura katika eneo la Ndelema barabara kuu inayounganisha wilaya za Handeni na Kilindi zoezi hilo lilianza jana na linategemewa kukamilika leo ili magari yaanze kupita.
Ujenzi wa daraja la dharura Handeni waendelea…..
Jeshi la wananchi JWTZ kikosi cha 121uhandisi wa medani Ngelengele kinaendelea na zoezi la uwekaji wa daraja la dharura katika eneo la Ndelema barabara kuu inayounganisha wilaya za Handeni na Kilindi zoezi hilo lilianza jana na linategemewa kukamilika leo ili magari yaanze kupita.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh Godwin Gondwe ambapo ameelezea jitihada zinazoendelea katika kukamilisha ujenzi wa daraja hilo.