Ujenzi wa nyumba za polisi waanza kujengwa.

In Kitaifa

JUMLA ya nyumba 100 za makazi ya askari zimeanza kujengwa mkoani Dodoma, ikiwa ni mpango wa serikali kukabiliana na changamoto za makazi ya askari polisi
atakaohamia hivi karibuni baada ya serikali kuanza kutekeleza agizo la kuhamishia makao makuu ya nchi mkoani humo.
ayo yalibainishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni  wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na
salama kutembelea eneo la Medeli Mashariki ambako awamu ya kwanza ya mradi huo ukihusisha nyumba 30, ujenzi wa shule ya awali, ujenzi wa kantini, ujenzi wa
viwanja vya michezo tayari imeshaanza
“Ujenzi wa nyumba hizi unakwenda sambamba na ujenzi wa nyumba kama hizi katika maeneo mbalimbali nchini ili kuhakikisha askari wanaishi sehemu sa,”alisema.
libainisha kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha ujenzi wa nyumba kama hizo kote nchini unafanyika kwa gharama nafuu na kutumia wataalamu wa ujenzi waliopo
serikalini na katika Jeshi la Polisi.
“Mradi huu utakua na awamu tatu ambapo Aprili, mwaka jana, awamu ya kwanza ilianza na kutarajiwa kukamilika Aprili, mwaka huu, huku awamu zilizobakia zikitarajiwa
ukamilika mwisho wa mwaka huu na hadi kukia mwaka kesho katikati awamu zote zitakua zimekamilika,” aliongeza Masauni.

uku akishauri miradi mingine wajenge maghorofa ili kuweza kuitumia ardhi waipatayo kwa matumizi mengine sambamba na ujenzi wa makazi ya askari.
“Nawapongeza kwa kutumia mapato yenu wenyewe ya ndani kuanzisha miradi mikubwa kama hii na sisi wajumbe wa kamati tumeridhishwa na hatua hizi za kukabiliana
na makazi ya wapiganaji wetu wanaotulinda usiku na mchana na nchi yetu kuendelea kuwa na amani,” amesema.
jumla ya gharama ya mradi huo wa nyumba 100 za makazi ya askari polisi ni Sh bilioni 300.5 zinazotokana na Mfuko wa Tuzo na tozo ikiwemo malipo ya huduma
mbalimbali zinazotolewa na askari polisi na faini zinazotozwa na askari kwenye makosa mbalimbali.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu