UNHCR wazindua mpango mpya wa mambo ya Fedha Rwanda

In Kimataifa

Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa mataifa UNHCR kwa kushirikiana na serikali ya Rwanda, wamezindua mpango mpya wenye lengo la kuwashirikisha wakimbizi kwenye mambo ya fedha.

Mpango huo uliozinduliwa siku moja kabla ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wakimbizi, unatarajiwa kuwawezesha wakimbizi kujitegemea kiuchumi kwa kutumia miradi ya kujipatia fedha, kupitia misaada na mikopo.

Waziri wa Rwanda anayeshughulikia usimamizi wa Majanga na Wakimbizi Seraphine Mukan tabana, amesema fedha hizo zitatolewa kwa mfuko wa mzunguko.

Mwakilishi wa UNHCR nchini Rwanda Bw Saber Azam amesema hatua hiyo ya Rwanda ,inafuatia ahadi iliyotolewa na serikali ya Rwanda kwenye mkutano wa kilele uliofanyika mjini New York, kwamba itaruhusu wakimbizi kuwa sehemu ya maendeleo ya uchumi na jamii.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu