Upatikanaji wa dawa waongezeka na kufikia asilimia 95

In Kitaifa
Serikali yasema upatikanaji wa dawa katika hospitali, zahanati na vituo vya afya vya hospitali umefikia asilimia 95 kutoka ilivyokuwa awali 80% huku ikibainisha kuwa bei ya dawa kushuka kwa 40%.
Serikali imesema utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya juu ya Tazara Fly Over umefikia asilimia 70 ambapo unatarajiwa kukamilika mwezi Oktoba mwaka huu.
Serikali imesema kuanzia mwezi Juni au Julai mwaka huu itaanza ujenzi wa barabara za juu (FlyOver) kwenye makutano ya barabara za Chang’ombe, Uhasibu, Kamata, Morocco, Mwenge, Magomeni na Tabata, ujenzi huo utasaidia kuondoa changamoto ya foleni jijini Dar es Salaam.
Awamu ya pili ya mradi wa mabasi ya mwendo kasi jijini Dar es Salaam unatarajiwa kuanza mwaka huu, mradi huo utahusisha ujenzi wa barabara za mwendokasi za Kilwa hadi Mbagala, na Uhuru hadi Gongo la Mboto.
Serikali imepanga kubadilisha mfumo wa masoko ya mazao mbalimbali kwa kuanzisha Soko la Kimataifa la Bidhaa za Kilimo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu