Utafiti mpya Chama cha masalaba mwekundua wamegundua mbinu salama ya maziko wakati wa mlipuko wa ugonjwa wa ebola

In Kimataifa

Utafiti mpya wa hivi karibuni umebainisha kwamba mbinu ya maziko salama ulioanzishwa na chama cha msalaba mwekundu wakati wa mlipuko wa ugonjwa wa ebola katika nchi tatu za Afrika Magharibi inaarifiwa umeokoa ama kuponya maisha ya maelfu ya watu.

Inakadiriwa kuwa watu wapatao elfu ishirini na tisa waliokuwa wameambukizwa ugonjwa wa ebola , walio wengi kutoka nchini Guinea, ierra Leone na Liberia, katika kipindi cha miaka ya 2013 na mwaka 2016.

Utafiti huo, umechapishwa katika jarida la PLOS lenye kujihusisha na masuala ya magonjwa ya kitropiki yaliyosahauliwa, limepongeza kazi kubwa iliyofanywa na chama cha msalaba mwekundu walijitolea kwa hali na mali kuzuia matukio zaidi ya elfu kumi .

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu