Utoaji chanjo ya Ebola waanza mjini Bikoro kaskazini magharibi ya Congo.

In Afya

Maafisa nchini Congo walianza jana kuwapa chanjo wafanyakazi wa afya na watu wengine katika eneo la Bikoro, ambalo mlipuko wa karibuni wa Ebola uliripotiwa kuanzia mapema mwezi Mei. Waziri wa Afya wa Jamhuri ya Kidekomrasia ya Congo Oly Ilunga alisafiri kwenda kusimamia zoezi hilo la utoaji chanjo kwa karibu watu 10 wa mji wa Bikoro, ambako karibu watu watano kati ya 12 waliofariki dunia kutokana na ugonjwa huo hatari walitokea eneo hilo. Kampeni ya utoaji chanjo ya Ebola nchini Congo, ambayo ilianzia mjini Mbandaka wiki iliyopita, inawalenga zaidi ya wahudumu wa afya 1,000. Zaidi ya watu 360 walipewa chanjo kabla ya jana Jumatatu. Mpaka jana, serikali ya Congo ilitoa takwimu mpya ikisema kuna visa 54 ya homa hiyo hatari ambapo 35 kati ya visa hivyo vimethibitishwa kuwa vya Ebola.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu