Uundwaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar ZURA wampa matumaini Rais wa Zanzibar.

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, ameeleza matumaini ya kuundwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar ZURA na kuanza kazi zake vyema.

Dk Shein ameyasema hayo Ikulu mjini Zanzibar,alipokutana na uongozi wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira, pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya ZURA na Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA.

Dk Shein amesema ZURA imeweza kuleta matumaini makubwa katika kutatua changamoto zilizokuwapo siku za nyuma, katika suala la uhaba na upandishaji wa bei ya mafuta kiholela, uliokuwa ukitokea na kuleta usumbufu kwa wananchi.

Dk Shein amesema wananchi wanapaswa kuijua na kuitambua ZURA na kazi zake, ili kupeleka malalamiko yao hasa katika suala la bei ya mafuta.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu