VIDEO:Msikilize Mama huyu jinsi anavyoishi na “HOUSE GIRL” wake

In Kitaifa, Mahusiano

Kuelekea siku ya wanawake duniani tarehe 03/08  radio5 kupitia kipindi pendwa cha mishe mishe imekuandalia kampeni isemayo ,dada wa kazi ni sehemu ya familia lengo ni kupinga unyanyasaji ubaguzi kwa wanaofanyiwa wadada wa kazi.

usikose kusikiliza yote haya katika kipindi cha mishe mishe kila siku ya jumatatu hadi ijumaa saa4 kamili hadi saa7 mchana #Dadawakazinisehemuyafamilia.

TIZAMA VIDEO HAPO CHINI

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu