Polisi nchini Uganda wanamshikilia Mbunge Bobiwine ambapo wametumia mabomu ya machozi kumzuia kufanya mkutano wa kisiasa jijini Kampala alipopanga kuelezea ilani atakayotumia mwakani kugombea Urais.
#Radio5fmTheOnlyChoice
#Tumekufikia
#SisiNdiyoChoiceYenyewe