Viongozi wa Mashtaka nchini Uganda wanakutana leo kuamua ikiwa wasitishe mgomo.

In Kimataifa
Viongozi wa Mashtaka nchini Uganda wanakutana leo kuamua ikiwa wasitishe mgomo ambao umekuwa ukiendelea kwa karibu wiki moja sasa na kukwamisha kesi Mahakamani wakidai nyongeza ya mshahara.
Hatua hii inakuja baada ya serikali kuwaomba miezi mitatu kushughulikia madai yao na kuwaomba kurejea kazini ili kuepusha msongamano wa kesi mbalimbali nchini humo.
Majaji wamekuwa wakiashirisha kesi nchini Uganda kwa ukosefu wa viongozi hao wa Mashtaka.
Msemaji wa muungano wa Viongozi wa Mashtaka nchini humo Aliwali Kizito, ameiambia runinga ya NBS kuwa mkutano mkuu wa viongozi hao wa mashtaka ndio wanaoweza kusitsiha mgomo huo.
Mgomo huu umesababisha kucheleweshwa pia kwa kesi kuhusu mauaji ya aliyekuwa msemaji wa Polisi Andrew Felix Kaweesi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu