Vitamin E inavyoweza kuboresha ngozi, kuondoa chunusi

In Afya

Kuna faida mbalimbali zitokanazo na matumizi ya vitamin kiafya hasa katika urembo
hususani katika vitamin C na Vitamin E ambazo huboresha muonekano wa ngozi yako.
Faida ya vitamin E katika ngozi hupunguza kasi ya ngozi kuzeeka, kupunguza madhara
ya mionzi ya jua kwenye ngozi lakini pia hupunguza muonekano mbaya wa makovu na
vipele.

Iwapo unataka kupunguza kupauka ngozi, madoa, makovu inashauriwa kuchanganya
mafuta ya Vitamin E na maji ya limao katika mafuta unayoyatumia pia unaweza
kuongeza rose water katika huo mchanganyiko.
Tumia pamba kupaka usoni na shingoni kaa na mchanganyiko huo kwa muda wa robo
saa kisha safisha uso tumia kwa siku 7 hadi 10 kuona mabadiliko pia itakusaidia kutibu
chunusi.
Unaweza kupaka usiku wakati wa kulala na asubuhi unasafisha uso wako kwa
kuchanganya kijiko kimoja cha ya mzaituni au mafuta ya nazi na mafuta kidonge kimoja
cha vitamini kisha unapaka kwa kuzunguka uso kwa kutumia vidole vyako.
Unashauriwa kutotumia mafuta ya Vitamin E bila ya kuchanganya na kitu chochote
kuyapunguza nguvu kunaweza kukuletea mchubuko wa ngozi laini kama ya kuzunguka
macho

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu