Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeiandikia barua Ofisi ya Bunge vikipinga adhabu iliyotolewa juzi dhidi ya wabunge wawili wa umoja huo, Halima Mdee na Ester Bulaya.

In Kitaifa

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeiandikia barua Ofisi ya Bunge vikipinga adhabu iliyotolewa juzi dhidi ya wabunge wawili wa umoja huo, Halima Mdee na Ester Bulaya.

Aidha umoja huo umeiomba ofisi hiyo kuitisha kikao cha Kamati ya Kanuni, ili ipitie na kutoa uamuzi juu ya upungufu inaodai kujitokeza katika kutoa adhabu dhidi ya wabunge hao.

Juzi Bunge liliazimia kupitisha hoja ya Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe Juliana Shonza CCM, kuwafungia kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge wabunge hao wawili kutokana na utovu wa nidhamu.

Jana hapakuwa na mbunge yeyote wa Chadema bungeni, kutokana na wengi wao kuhudhuria mazishi ya mwasisi wa chama hicho Phillemon Ndesamburo mkoani Kilimanjaro

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu