Wafanyakazi wote wa serikali ya Iraq wachukua likizo kwa lazima.

In Kimataifa

Waziri mku wa Iraq Haider al-Abadi ameamrisha wafanyakaziwote wa serikali kuchukua likizo leo Alhamis kutokana na kuwepo viwango vya juu zaidi vya joto.

Watabiri wa hali ya hewa wanatarajia viwango vya joto kwenye mji mkuu Baghdad kufikia nyuzi 50C leo alasiri

Jito jingi pia linatarajiwa miji ya Basra na Mosul,Joto hilo jingi linaweza kusababisha ukosefu wa nguvu za umeme.

Viwango vya juu vya joto vinashuhudiwa kote eneo hilo na tayari vimeathiri maeneo ya bara la Ulaya siku za hivi karibuni.

Wanasayansi wanaonya kuwa hali hiyo inaweza kusababisha vifo vya watu Elfu hamsini na mbili barani Ulaya mwaka 2100.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu