Wafungwa 35 wauawa Gerezani.

In Kimataifa

 

Gavana wa jimbo la Amazonas nchini Venezuela, amesema zaidi ya wafungwa 35 wameuawa katika kile kilichoitwa mauaji ndani ya gereza.

Kikosi maalumu cha jeshi cha Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo, kimepelekwa kudhibiti hali ndani ya gereza katika mji mkuu wa jimbo hilo Puerto Ayacucho.

Watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa, walisikia milio ya risasi kwa saa kadhaa ndani ya gereza hilo.

Hakuna kauli yoyote iliyotolewa na serikali mpaka sasa,juu ya vifo vya wafungwa hao.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu