Wagombea CHADEMA wawekwa adharani.

In Siasa

 Katibu Mkuu wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Vicent Mashinji ametangaza rasmi wagombea wake wa Ubunge na Udiwani katika uchaguzi mdogo.

Mashinji amemtaja Elia Fredrick Michael kuwa ndiye atakayegombea Ubunge katika Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma ambalo Mbunge wake, Kasuku Bilago (CHADEMA) alifariki.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu