Wahadhiri wa vyuo vikuu vya serikali nchini Kenya wasitisha mgomo.

In Kimataifa

Wahadhiri wa vyuo vikuu vya serikali nchini Kenya wamesitisha mgomo baada ya serikali kuahidi kuwalipa zaidi mara moja, kulingana na taarifa za jana za viongozi wa muungano wa wahadhiri wa vyuo vikuu nchini humo.

Wanachama wa Muungano wa Vyuo Vikuu UASU walimaliza mgomo wa siku 54 unaohusu malipo mwezi Febuari na kusaini mkataba na serikali mwezi Machi wa ongezeko la malipo la asilimia 17.5 na asilimi 3.9 katika posho za makaazi.

Lakini walianzisha mgomo mpya mwezi huu juu ya utekelezaji wa malipo hayo waliyokubaliana na serikali.

Muungano wa UASU umesema serikali imetoa kiasi cha shilingi bilioni 5 mwezi huu za kuwalipa wanachama wa muungano huo na hiyo ndiyo sababu ya kusitisha mgomo wao.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu