Wajasiriamali Wapewa Somo na Waziri Amina Salum Ali

In Tekinolojia

Waziri wa Biashara na Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bi. Amina Salum Ali amewataka wajasiriamali nchini kutumia teknolojia ya kisasa kuzalisha bidhaa bora zenye viwango ambazo zitakidhi soko la ushindani.

Akizungumza kwenye kongamano la KCB JIAJIRI lililoshirikisha wajasiriamali zaidi ya elfu moja jijini DSM, Waziri Amina amesisitiza kwamba matumizi ya teknolojia katika kuzalisha bidhaa kuna mhakikishia mlaji usalama anapotumia bidhaa husika.

Aidha ametaka watanzania kujenga utamaduni wa kutumia bidhaa za ndani, akitolea mfano wa mataifa mengine yaliyozindua kampeni ya nchi zao kwanza, na kusema hata kwa hapa nchini inawezekana kuifanya Tanzania kwanza, kabla ya kununua bidhaa kutoka nchi nyingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu