Wakulima 14 wako mahututi kwa kula sumu

In Kimataifa

Wakulima 14 wamelazwa katika Hospitali mbali mbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Kabarnet wakiwa mahututi mara baada ya kula chakula chenye sumu Kaunti ya Baringo nchini Kenya.

Haijabainika ni vipi chakula hicho kilichoandaliwa katika boma la mmoja wa wakulima hao kiliingiwa sumu na kuwadhuru.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu