Wakuu wa wilaya na wakurugenzi watendaji wapewa onyo kuacha kushindana wenyewe kwa wenyewe.

In Kitaifa
WAKUU wa Wilaya  na Wakurugenzi Watendaji  wameonywa kuacha kushindana  wenyewe kwa wenyewe,  na kuendeleza migongano badala isiyo na tija  badala yake  washirikiane kwa kuwa  wanategemeana , katika kutekeleza  Majukumu yao.
Onyo hilo lilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene mjini Dodoma jana wakati akifungua semina elekezi kwa viongozi hao wa mikoa sita kutoka Kanda ya Ziwa.
Simbachawene  amewataka wachukuliane hali, hisia, tabia na wavumiliane na kushirikiana ,badala ya kuonesheana ubabe na kila mmoja kujiona ana madaraka kuliko mwenzie.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Tamisemi), Mussa Iyombe amewataka  viongozi  hao kujifunza kwa bidii katika semina hiyo, kujua vizuri  Majukumu yao na Mipaka ya kazi yao badala ya kukaa siku tano na kurudi watupu.
Mafunzo hayo  yamewashirikisha  viongozi kutoka mikoa ya Mara, Mwanza, Kagera, Simiyu, Manyara na Geita,

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu