Watanzania waendelea kumuaga Hayati Mkapa.

In Kitaifa


Kuagwa kwa Hayati Benjamin William Mkapa Rais wa awamu
ya tatu Tanzania kunaendelea katika uwanja wa Uhuru DSM
ambako maelfu ya watanzania wamefika kumuaga Hayati
Mkapa.


Zoezi la kuaga limeanza jana ambako linatarajiwa kukamilika
kesho na kisha zoezi la kumpumzisha katika nyumba yake ya
milele kufanyika jumatano Mtwara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu