Watu 44 Wameripotiwa kufariki ajali ya MV Nyerere.

In Kitaifa

Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere kilichozama  lilisitishwa  jana usiku kutokana na giza na litaendelea  tena leo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amesema mpaka sasa watu waliookolewa wakiwa hai ni 37 na waliopoteza maisha ni 44.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu