Waziri Mkuu Lesotho kung’oka madarakani kufuatia kashfa ya mauaji.

In Kimataifa

Thomas Thabane ametangaza kuwa atajiuzulu kama waziri mkuu wa Lesotho kufuatia miezi kadhaa ya shinikizo baada ya kutajwa kama mshukiwa katika mauaji ya aliyekuwa mkewe.

Hakusema ataachia madaraka lini lakini chama chake kimesema kuwa waziri mkuu mpya ataapishwa Jumatano.

Mke wa Thabane wa sasa (mke mdogo), ambaye alikuwa akiishi naye wakati aliyekuwa mkewe anauawa, alishtakiwa mwezi Februari kwa kuhusishwa na mauaji hayo.

Thabane mwenye miaka 80, na mkewe mdogo wamekanusha kuhusiaka na mauaji ya mke mkubwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu