Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameanza ziara rasmi katika mataifa ya Amerika Kusini.

In Kimataifa

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameanza ziara rasmi katika mataifa ya Amerika Kusini.

 

Netanyahu aliondoka jana usiku katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv kuelekea Argentina, kituo chake cha kwanza cha ziara hiyo.

 

Netanyahu ambaye ameandamana na mke wake Sara, ameieleza ziara yake kuwa ya kihistoria, kwa kuwa ni ya kwanza kuwahi kufanywa na waziri mkuu wa Israel huko Amerika Kusini.

 

Kutoka Argentina Netanyahu atazitembelea Colombia na Mexico, kabla kuelekea New York Marekani, ambako atauhutubia mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 26 mwezi huu.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu