Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amefanya ziara yake
Wilayani Chemba mkoa wa Dodoma, na kukutana na wafugaji
na wakulima ilikutatua migogoro iliyokuwa ikiwakabili.
Akizungumza na wananchi hao amewataka viongozi wa maeneo
hayo kuitatua migogoro hiyo na kuwataka wanachi kupendana.