Waziri wa ulinzi wa Marekani awasili Djibuti kwa ziara fupi.

In Kimataifa

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Jim Mattis, amewasili Djibuti kwa ziara fupi, katika taifa la kimkakati la Pembe ya Afrika. Pia ni taifa pekee katika bara hilo lenye kambi ya kijeshi ya kudumu ya Marekani.

Kambi ya Lemonnier, iliyo na wanajeshi 4,000 wa Kimarekani na makandarasi ni muhimu kwa operesheni za kijeshi za Marekani inazozifanya nchini Somalia dhidi ya makundi ya wanamgambo kama vile al-Shabbab.

Kambi hiyo pia inasaidia operesheni za kijeshi za Marekani za nchini Yemen, ambapo vikosi maalumu vinafanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani ya mara kwa mara dhidi ya kundi la Al-Qaeda, katika Rasi ya Uarabuni.

Mattis anatarajiwa kukutana na rais wa Djibuti, Ismail Omar Gue lleh pamoja na Jenerali Thomas Waldha user, kamanda wa vikosi vya Marekani vilivyopo barani Afrika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu