Wenger ajitoa hofu.

In Burudani, Kimataifa

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amesema kuwa hanashaka na maisha yake yajayo ndani ya klabu hiyo bali anachoangazia zaidi kwa sasa ni mchezo wake ujao dhidi ya Manchester City.

Arsenal ilifungwa jumla ya mabao 3 – 0 na City mchezo uliyopita wa michuano ya Carabao Cup siku ya Jumapili na wadau wengi wa soka wakizungumzia nafasi ya Wenger katika klabu hiyo.

Lakini meneja huyo amesema kuwa “Ukweli ni kwamba swala la kuhofia nafasi yangu ndani ya timu ni wazo la mwisho, mtazamo wangu mkubwa ni kuiyandaa timu dhidi ya mchezo ujao.”

Wenger ambaye amekiongoza kikosi cha Arsenal tangu mwaka 1996 aliingia kandarasi ya miaka miwili mwishoni mwamsimu uliyopita na kusema kuwa hana mpango wa kusaini mkataba mpya baada ya huu kumalizika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu