West Ham kumsajili Jack Wilshere.

In Michezo

West Ham inakaribia kumsajili kiungo wa kati wa Arsenal Jack Wilshere , ambaye yuko huru baada ya kuondoka Arsenal.

Klabu hiyo imempatia kiungo huyo mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya £100,000 kwa wiki (Sun)

Manchester City inakaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa kati wa Itali Jorginho, 26, baada ya Napoli kuthibitisha kuwasili kwa mchezaji atakayechukua mahala pake Fabian Ruiz, 22. (Manchester Evening News)

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu