West Ham inakaribia kumsajili kiungo wa kati wa Arsenal Jack Wilshere , ambaye yuko huru baada ya kuondoka Arsenal.
Klabu hiyo imempatia kiungo huyo mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya £100,000 kwa wiki (Sun)
Manchester City inakaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa kati wa Itali Jorginho, 26, baada ya Napoli kuthibitisha kuwasili kwa mchezaji atakayechukua mahala pake Fabian Ruiz, 22. (Manchester Evening News)