Wizara ya Kilimo, Maliasi, Mifugo na Uvuvi visiwai zanzibar, imesema mwelekeo wa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, ni kuimarisha kilimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

In Kitaifa

Wizara ya Kilimo, Maliasi, Mifugo na Uvuvi visiwai zanzibar, imesema mwelekeo wa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, ni kuimarisha kilimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Hayo uyamesemwa na waziri wa wizara hiyo Hamad Rashid Mohamed, alipokuwa akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo.

Amesema watahakikisha wanaendeleza utoaji wa huduma za matrekta na zana zake, na kuhakikisha upatikanaji wa vifaa na vipuri kwa ajili ya huduma za kilimo.

Ameongeza kuwa watahakikisha pia kuendeleza uzalishaji wa mazao ya viungo, kwa ajili ya usafirishaji nje ya nchi ikiwamo zao la vanilla na pilipili hoho.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu