Zayn Malik na Gigi Hadid waachana.

In Burudani, Kitaifa

Mwaka 2018 umeendelea kuwa ni washetani kwa couple za wapendanao wenye majina makubwa. Zayn Malik na Gigi Hadid waongeza orodha ya mastaa waliomwagana kwa mwaka huu.


Zayn Malik na Gigi Hadid

Wawili hao wamethibitisha kuachana kupitia mtandao wa Twitter. Zayn alikuwa wakwanza kuandika ujumbe huo hapo chini kwenye mtandao huo.

Hata hivyo Hadid alijibu mapigo kupitia mtandao huo kwa kuandika:

Wawili hao wameachana ikiwa ni takribani miaka miwili imepita wamedumu kwenye mahusiano ya kimapenzi ambayo walianzisha July 2016.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu