Zimbabwe yamuombea kinga mke wa Mugabe.

In Kimataifa

Serikali ya Zimbabwe imemuombea mkewe Mugabe kinga ya kidiplomasia,dhidi ya kesi ya ushambuliaji inayomkabili nchini Afrika kusini.

Mwanamitindo mwenye umri wa miaka ishirini nchini humo, amemtuhumu Bi Mugabe kwa kumshambulia, katika hoteli moja iliyopo mjini Johannesburg.

Polisi nchini humo wamesema kwamba,walitarajia Bi Mugabe angejiwasilisha kwao mwenyewe jana, lakini hakufanya hivyo.

Akizungumza mbele ya kamati ya bunge, kaimu mkuu wa polisi Leseja Mothiba, amesema Bi Mugabe ni lazima afikishwe mahakamani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu