Zuma: Ninafuatilia kwa karibu kinachoendelea Zimbabwe.

In Kimataifa

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anasema atafuatilia kwa karibu yale yanayoendelea katika taifa jirani la Zimbabwe.

Taarifa rasmi iliyotolewa na ofisi ya Bw. Zuma ililitaka jeshi kusuluhisha mzozo uliopo kwa njia ya amani.

Mwezi Agosti Afrika Kusini ilijipata kwenye mzozo wa familia ya Mugabe, wakati Grace Mugabe alidaiwa kumpiga mwamamitindo kwenye hoteli mjini Johannesbug

BI Mugabe hakushtakiwa baada ya serikali ya Bw. Zuma kumpa kinga.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu