In Kitaifa

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawa
ameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6
ikiwa ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa
fedha 2023/2024 wa Wizara yake.


Katika hotuba yake ambayo ameshaiwasilisha Bungeni jijini
Dodoma,ameliaambia Bunge kuwa mbali na mambo mengine
yatakayotekelezwa 2023/24, zipo barabara saba zenye jumla ya
urefu wa kilometa elfu 2 na 35.

Akitoa mchanganuo wa fedha hizo Prof Mbarawa amesema kati
ya fedha hizo Sh Trilioni 1.5 ni kwa ajili ya sekta ya ujenzi na
Sh Trilioni 2.09 ni kwa ajili ya sekta ya Uchukuzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

Polisi yatoa kauli kwa dada aliyeibiwa Mil 20.

Mfanyabiashara ambaye ni Wakala wa miamala ya simu nakibenki Mkoani Manyara Tatu Athuman,amejitokeza nakuthibitika kuwa ndiye aliibiwa Milioni 20

Read More...

Rais Samia awaapisha Wateule wake Ikulu Chamwino.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt SamiaSuluhu Hassan,leo amewaapisha Viongozi aliowateuwa,tukioambalo limefanyika Ikuku ya chamwino jijini

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu