In Kitaifa

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawa
ameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6
ikiwa ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa
fedha 2023/2024 wa Wizara yake.


Katika hotuba yake ambayo ameshaiwasilisha Bungeni jijini
Dodoma,ameliaambia Bunge kuwa mbali na mambo mengine
yatakayotekelezwa 2023/24, zipo barabara saba zenye jumla ya
urefu wa kilometa elfu 2 na 35.

Akitoa mchanganuo wa fedha hizo Prof Mbarawa amesema kati
ya fedha hizo Sh Trilioni 1.5 ni kwa ajili ya sekta ya ujenzi na
Sh Trilioni 2.09 ni kwa ajili ya sekta ya Uchukuzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu