Hasara yapungua ATCL.

In Kitaifa

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imepunguza hasara kwa kiasi kikubwa kutoka Sh bilioni 20 hadi kufi kia Sh bilioni 3 kwa mwaka.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Ladislaus Matindi aliyeeleza kuwa katika mpango wao wa muda mfupi ambao ni wa mwaka mmoja, wamefanikiwakupunguza hasara kwa kiasi hicho.

Matindi amesema kufanikiwa huko kumetokana na kufanyika kazi katika baadhi ya maeneo ambayo yalikuwa ni changamoto ikiwemo ufutaji wa safari, akieleza kuwa awali walikuwa wakifuta safari, lakini kwa sasa hawafuti safari.

Amesema wamejiwekea Mpango Mkakati wa Biashara wa muda mrefu ambao ni wa miaka mitano na kwamba una malengo matatu ikiwemo usalama, kuhakikisha wanatengeneza faida pamoja na kutoa huduma zenye uhakika kwa wateja wao.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu