Hasara yapungua ATCL.

In Kitaifa

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imepunguza hasara kwa kiasi kikubwa kutoka Sh bilioni 20 hadi kufi kia Sh bilioni 3 kwa mwaka.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Ladislaus Matindi aliyeeleza kuwa katika mpango wao wa muda mfupi ambao ni wa mwaka mmoja, wamefanikiwakupunguza hasara kwa kiasi hicho.

Matindi amesema kufanikiwa huko kumetokana na kufanyika kazi katika baadhi ya maeneo ambayo yalikuwa ni changamoto ikiwemo ufutaji wa safari, akieleza kuwa awali walikuwa wakifuta safari, lakini kwa sasa hawafuti safari.

Amesema wamejiwekea Mpango Mkakati wa Biashara wa muda mrefu ambao ni wa miaka mitano na kwamba una malengo matatu ikiwemo usalama, kuhakikisha wanatengeneza faida pamoja na kutoa huduma zenye uhakika kwa wateja wao.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu