Acacia na Tanzania wakubaliana,Rais apokea taarifa.

In Kitaifa

Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzani Dr John Pombe Magufuli, leo amepokea taarifa ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya timu ya wataalam aliyoiunda, na timu ya kampuni ya Barrick Gold kuhusu biashara ya ya madini ya dhahabu maarufu kama makinikia.

Akiwasilisha taarifa hiyo mapema leo ikulu jijini Dar es salaam, Antena imemnasa waziri wa katiba na sheria Prof Paramagamba Kabudi, akieleza maeneo ambayo Barrack Gold wamekubaliana na Tanzania.

Kwa upande rais Magufuli amemshukuru mwenyekiti mtendaji wa Barrick kwa utashi wake, na amewashukuru tume za makinikia na timu ya majadiliano ya Tanzania na Bunge.

Amesema anajua huu ni mwanzo wa mazungumzo ulikuwa mgumu, lakini mwisho wa siku anawashukuru kwa kazi nzuri waliyofanya.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu