Acacia na Tanzania wakubaliana,Rais apokea taarifa.

In Kitaifa

Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzani Dr John Pombe Magufuli, leo amepokea taarifa ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya timu ya wataalam aliyoiunda, na timu ya kampuni ya Barrick Gold kuhusu biashara ya ya madini ya dhahabu maarufu kama makinikia.

Akiwasilisha taarifa hiyo mapema leo ikulu jijini Dar es salaam, Antena imemnasa waziri wa katiba na sheria Prof Paramagamba Kabudi, akieleza maeneo ambayo Barrack Gold wamekubaliana na Tanzania.

Kwa upande rais Magufuli amemshukuru mwenyekiti mtendaji wa Barrick kwa utashi wake, na amewashukuru tume za makinikia na timu ya majadiliano ya Tanzania na Bunge.

Amesema anajua huu ni mwanzo wa mazungumzo ulikuwa mgumu, lakini mwisho wa siku anawashukuru kwa kazi nzuri waliyofanya.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu