Adam Malima afutiwa kesi,Kaka na Dereva wake waongea.

In Kitaifa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imemuachia huru Naibu Waziri wa zamani Adam Malima kutokana na kesi ya kushambulia iliyokuwa ikimkabili.

Adam Malima ambae juzi ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa, yeye na Dereva wake ndio walikua wanakabiliwa na kesi hiyo ambapo Mkurugenzi wa mashtaka amesema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.

Antena imemnasa dereva wake Ramadha Mohamed pamoja na kaka yake Malima, mara baada ya kesi hiyo kufutwana walikuwa na haya ya kuongea.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu