ADC walaani kushambuliwa kwa Lissu.

In Kitaifa, Siasa

Chama cha Allience for Democratic Change ADC, kimelaani kushambuliwa kwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tumdu Lissu.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Doyo Hassan Doyo, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.

Hassan Doyo amesema matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hapa nchini likiwemo la kushambuliwa mbunge Tundu Lissu, hayakubaliki hata kidogo.

Aidha chama hicho kimetoa ushauri kwa serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalam juu ya mataukio hayo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu