ADC walaani kushambuliwa kwa Lissu.

In Kitaifa, Siasa

Chama cha Allience for Democratic Change ADC, kimelaani kushambuliwa kwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tumdu Lissu.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Doyo Hassan Doyo, alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.

Hassan Doyo amesema matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hapa nchini likiwemo la kushambuliwa mbunge Tundu Lissu, hayakubaliki hata kidogo.

Aidha chama hicho kimetoa ushauri kwa serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalam juu ya mataukio hayo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu