Afisa wa serikali ya Kenya amesema wafanyakazi 4 wa misaada nchini Kenya, wamepoteza maisha baada ya gari yao kukanyaga bomu karibu na kambi ya wakimbizi ya Dadaab, katika kaunti iliyoko mashariki mwa Garissa.

In Kimataifa

Afisa wa serikali ya Kenya amesema wafanyakazi 4 wa misaada nchini Kenya, wamepoteza maisha baada ya gari yao kukanyaga bomu karibu na kambi ya wakimbizi ya Dadaab, katika kaunti iliyoko mashariki mwa Garissa.

 

Mohamud Saleh mratibu wa mkoa wa kaskazini mashariki, amesema gari hilo ni mali ya shirika la African Development Solutions.

Amesema inadhaniwa kuwa bomu hilo lilikuwa limetegeshwa na kikundi cha siasa kali ya Al-Shabab, ambacho kiko nchi ya jirani ya Somalia.

Inaelezwa kuwa zauidi ya watu 34 wamepoteza maisha mpaka sasa wakiwemo maafisa wa polisi 20, katika milipuko nchini humo katika kipindi cha wiki tatu zilizopita.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu