Ahadi zote alizoziahidi Rais Magufuli wakati wa Kampeni zitatekelezwa.

In Kitaifa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi George Simbachawene, amewahakikishia wabunge ahadi zote alizoziahidi Rais John Magufuli wakati wa kampeni zitatekelezwa.
Simbachawene ametoa kauli hiyo jana bungeni, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Hai Chadema Freemon Mbowe.
Mbowe alitaka kujua ni lini serikali itatoa bilioni 1.3 kwa ajili ya ujenzi wa kilomita tano za lami, ambazo Rais aliahidi wakati wa kampeni.
Akijibu swali hilo Simbachawene amesema ahadi zote alizotoa Rais wakati wa kampeni, zitatekelezwa ndani ya miaka mitano kama alivyoahidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu