Ahadi zote alizoziahidi Rais Magufuli wakati wa Kampeni zitatekelezwa.

In Kitaifa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi George Simbachawene, amewahakikishia wabunge ahadi zote alizoziahidi Rais John Magufuli wakati wa kampeni zitatekelezwa.
Simbachawene ametoa kauli hiyo jana bungeni, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Hai Chadema Freemon Mbowe.
Mbowe alitaka kujua ni lini serikali itatoa bilioni 1.3 kwa ajili ya ujenzi wa kilomita tano za lami, ambazo Rais aliahidi wakati wa kampeni.
Akijibu swali hilo Simbachawene amesema ahadi zote alizotoa Rais wakati wa kampeni, zitatekelezwa ndani ya miaka mitano kama alivyoahidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu