Aliyempiga kiwiko kiungo Yanga kizimbani leo.

In Kitaifa, Michezo

Kamati ya nidhamu inatarajia kumhoji beki wa Majimaji, Juma Salamba.

Salamba atahojiwa kutokana na tuhuma ya kumtwanga kiwiko hadi kuzimia, kiungo wa Yanga, Emmanuel Martin.

Salamba atapanda katika “kizimba” cha kamati ya nidhamu leo tayari kujitetea kuhusiana na tuhuma hizo katika mechi iliyoisha kwa sare ya bao 1-1.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu