Andengenye akabidhiwa ofisi ya Mkoa Kigoma.

In Uncategorized

.

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kigoma Brig Jeneral Mstaafu Emanuel Maganga, amemkabidhi ofisi mkuu mpya wa mkoa huo CP Thobiasi E.M Andengenye,aliyeteuliwa hivi karibuni na mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Brig Maganga,ameeleza namna alivyoukuta mkoa huo wakati anaingia na kumtaka mkuu huyo mpya kuendeleza pale alipoishia ili kupandisha uchumi wa mkoa wa Kigoma.

Kwa upande wake mkuu huyo Mpya wa mkoa wa Kigoma CP Thobiasi E.M Andengebye, amezungumza kwa mara ya kwanza na kushukuru kwa kupokelea vyema katika mkoa huo lakini pia akawataka watendaji wa serikali katika mkoa huo kuepuka rushwa ili wananchi wa mkoa huo wapate haki kwa usawa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu