Asilimia 1.4 ya Watanzania wanajisaidia vichakani.

In Afya, Kitaifa

Imeelezwa kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani
imepungua kutoka asilimia 5.7 mwaka 2017,hadi asilimia 1.4
Desemba 2021.


Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,
wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya
Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka
mitano ya kampeni hiyo nchini.


Amesema sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika
baadae mwaka huu itatoa takwimu halisi ni kwa kiasi gani
Watanzania wamefanikiwa katika kuwekeza katika kuwa na
vyoo bora,na kuyataja baadhi ya maeneo yaliyofanya vizuri
katika kampeni hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu