Author: contributor contributor

Mwanaharakati aliyekamatwa kwa kumuita Rais Museveni “JOZI YA MAKALIO”hatimae apewa dhamana.

Mwanaharakati msomi nchini Uganda ambaye alikamatwa baada ya kumuita Rais Yoweri Museveni "jozi ya makalio", hatimaye amepewa dhamana. Dkt Stella

Read More...

watumishi 134 wa Hospitali ya Muhimbili wabainika kuwa na vyeti vya kugushi.

Watumishi 134 wa hospitali ya taifa Muhimbili wamebainika kuwa na vyeti vya kughushi ,vya ngazi ya elimu ya sekondari

Read More...

Waziri Mkuu awataka wakuu wa Wilaya kuwachukulia hatua za kisheria watendaji wanaoshindwa kuzingatia sheria za utumishi.

     WAZIRI Mkuu wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania KASSIMU MAJALIWA amewataka wakuu wa Wilaya Nchini ,kuwachukulia hatua za

Read More...

Mshauri wa maswala ya usalama Michael Flynn Kuhojiwa na aliyekua mkuu wa upelelezi kawaandikia barua maafisa na rafiki zake.

     Maseneta wanaochunguza uhusiano uliopo kati ya Rais Donald Trump na Urusi wamemwagiza aliyekuwa mshauri wa maswala ya

Read More...

Waandamanaji wawili wauawa katika maandamano ya kupinga Serikali nchini Venezuela.

   Watu wengine wawili wameuawa katika siku nyingine ya maandamano ya kupinga Serikali nchini Venezuela, ambapo watu waliofariki kwa

Read More...

Mkuu wa Benki ya Gambia afutwa kazi.

  Mkuu wa Benki Kuu ya Gambia aliyekuwa akihudumu wakati wa utawala wa Yahya Jammeh, Amadou Colley, amefutwa kazi. Hakuna

Read More...

Wananchi Mkoani Pwani wahimizwa kushirikiana katika masuala ya kijamii.

   Wananchi mkoa wa Pwani wamehimizwa kushirikiana katika masuala ya kijamii, ikiwemo suala la usalama na kilimo cha matunda

Read More...

Serikali kuajiri watumishi Elfu 4,339 katika wizara ya mambo ya ndani ya Nchi.

   Serikali inatarajia kuajiri watumishi ELFU NNE 4,339 katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa

Read More...

Serikali kujenga daraja la Juu kwaajili ya kivuko cha waenda kwa miguu(Over head Pedestrian Bridge)

     Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandis Edwin Ngonyani ,amesema kuwa Serikali itajenga daraja la juu

Read More...

Police nchini Uganda washutumiwa kuwatesa washukiwa wa mauaji.

Polisi nchini Uganda wanakabiliwa na shutuma za kuwatesa washukiwa wa mauaji, ya aliyekuwa naibu mkuu wa polisi Andrew Kawessi

Read More...

Mobile Sliding Menu