Bailando yamuingizia Enrique Iglesias Trillion 18 za Kitanzania

In Burudani

Hakika ukishakuwa Msanii mkubwa wa Kimataifa wewe ni Tajiri asiyemithilika.

Kama ilivyo kawaida, Mtandao wa YouTube wenyewe tu huwa unampa mwenye account Dollar 3000 kwa kila Views Million 1 kwenye YouTube Channel ya Muhusika.

Sasa kwanini nasema ukishakuwa Msanii Mkubwa umeula, Mwanamuziki  Enrique Iglesias, anasherehekea Wimbo wake wa Bailando aliowashirikisha Descemer Bueno na Gente De Zona kufikisha Watazamaji (Views) zaidi ya bilioni 2 kwenye mtandao huo wa Youtube tangu umewekwa 11 Apr 2014.

Enrique Iglesias

August 2015, ilipata views zake za kwanza bilioni moja na kuwa wimbo wa kwanza wenye lugha ya Spanish kufikia Watazamaji hao.

Enrique Iglesias amesherehekea kwa kuwashukuru Mashabiki wake kwa Kuandika kwenye nstagram, “Thank you to all my fans! I love you guys!”

Hii Inatupa Picha ya Haraka haraka kwamba kwakuwa Views Million 1 anapewa Dollar 3000, Basi Enrique ameingiza Kiasi cha Dollar Million 6 ambazo ni sawa na Shilingi za Kitanzania Trillion 18 (18,000,000,000)

UNAWEZA KUITAZAMA VIDEO HIYO HAPA CHINI

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu