Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi, ili kuratibu juhudi zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.

In Kimataifa

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi, ili kuratibu juhudi zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.

Hatua hiyo imetajwa kuwa ni mageuzi makubwa ya kwanza ya kitaasisi yaliyofanywa katika Umoja wa Mataifa tangu Bw. Antonio Guterres aanze kuongoza umoja huo.

Bw. Guterres siku hiyo alitoa taarifa kupitia msemaji wake, akikaribisha kupitishwa kwa azimio hilo, na kusema anatarajia kuwa mageuzi hayo yanaweza kuhimiza juhudi za Umoja wa Mataifa katika kuzuia mgogoro na kuhimiza maendeleo na amani ya kudumu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu