Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi, ili kuratibu juhudi zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.

In Kimataifa

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi, ili kuratibu juhudi zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.

Hatua hiyo imetajwa kuwa ni mageuzi makubwa ya kwanza ya kitaasisi yaliyofanywa katika Umoja wa Mataifa tangu Bw. Antonio Guterres aanze kuongoza umoja huo.

Bw. Guterres siku hiyo alitoa taarifa kupitia msemaji wake, akikaribisha kupitishwa kwa azimio hilo, na kusema anatarajia kuwa mageuzi hayo yanaweza kuhimiza juhudi za Umoja wa Mataifa katika kuzuia mgogoro na kuhimiza maendeleo na amani ya kudumu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu