Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi, ili kuratibu juhudi zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.

In Kimataifa

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuanzisha ofisi ya kupambana na ugaidi, ili kuratibu juhudi zinazofanywa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwenye mapambano dhidi ya ugaidi.

Hatua hiyo imetajwa kuwa ni mageuzi makubwa ya kwanza ya kitaasisi yaliyofanywa katika Umoja wa Mataifa tangu Bw. Antonio Guterres aanze kuongoza umoja huo.

Bw. Guterres siku hiyo alitoa taarifa kupitia msemaji wake, akikaribisha kupitishwa kwa azimio hilo, na kusema anatarajia kuwa mageuzi hayo yanaweza kuhimiza juhudi za Umoja wa Mataifa katika kuzuia mgogoro na kuhimiza maendeleo na amani ya kudumu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu