Bibi harusi akatazwa kutabasamu kwenye harusi yake.

In Kimataifa, Mahusiano

 

Ukiuliza kila mwanamke alieolewa atakwambia namna siku ya harusi ni siku ya furaha kwa mwanamke.

Huko Tajiskistan nchi iliyo bara la Asia, mwanadada Hudoidodova mwenye miaka 22 amelazimika kutotabasamu na kutomwangalia mume wake machoni siku ya harusi yake kutokana na tamaduni zao kutoruhusu.

Ukitabasamu inaonyesha mlijuana kabla ya ndoa jambo ambalo hairuhusiwi, pia bibi harusi akifurahi inaonyesha amefurahi kuacha familia yake na kumfata mume wake.

Alipoulizwa kama aliolewa kwa kulazimishwa alisema hapana na alifurahia kupata mwanamme anaemruhusu kufanya kazi baada ya kuolewa tofauti na wanaume wengine waliomtaka zamani.

Raisi wa nchi hiyo Emomail Rahman, aliona Asrovov hana mke na kuwaamuru wataalamu wa kuwatafutia watu wachumba, wamtafutie ndipo wakampata mwanamke huyo aitwaye Hudoidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu